Fundi wa MV. Nyerere apatikana akiwa hai leo 22 SEPTEMBER 2018


Fundi wa MV. Nyerere apatikana akiwa hai

Mmoja wa Mainjinia wa Kivuko cha Mv.Nyerere kilichopata ajali ya kuzama ziwa Victoria, Alphonce Chelehani ameokolewa muda mfupi uliopita akiwa hai, mpaka sasa idadi ya miili iliyoopolewa ni 163.






Imeripotiwa Zaidi ya wananchi 500 wamekwama katika eneo la Bugolora  baada ya kukosa usafiri wa kuelekea kisiwa cha Ukara kulikotokea ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere juzi Septemba 20, 2018Wanachi hao wamekwama kutokana na usafiri kuwa wa shida kwani watu wengi sana wanaelekea eneo hilo wakiwemo viongozi wa Serikali.
SHARE

Author

Hi, Its me Hafeez. A webdesigner, blogspot developer and UI/UX Designer. I am a certified Themeforest top Author and Front-End Developer. I'am business speaker, marketer, Blogger and Javascript Programmer.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment